Ticker

6/recent/ticker-posts

MAHAKAMA INAWEZA KUSIKILIZA KESI SIKU YA JUMAPILI PAMOJA NA SIKU ZA MAPUMZIKO. Na Johnson Yesaya. LL.B.



Kifungu cha 186(2) Cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai Sura ya 20 kinasema;

Mahakama yoyote inaweza kukaa kusikiliza kosa lolote siku ya jumapili au siku ya mapumziko na hakuna uamuzi, adhabu au amri itakayopitishwa na mahakama nyingine kubatilisha hukumu hiyo kwa sababu ya ukweli kuwa ilitolewa au ilipitishwa jumapili au siku ya mapumziko; 

Lakini mahakama inaweza kukaa jumapili au siku ya mapumziko kwa lengo la kuharakisha kesi, kuokoa gharama au usumbufu kwa wahusika wa kesi.

Chapisha Maoni

0 Maoni