Ticker

6/recent/ticker-posts

KUTOKUWA NA KAZI NI KOSA KISHERIA.



KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 KIFUNGU CHA 176(h).

Kinasema, "mtu  mwenye  afya  kamili  ambaye  hajishughulishi  katika  kazi yoyote  ya uzalishaji  na  hana  namna  yoyote inayoonekana waziwazi  ya  kujikimu, atahesabiwa  kuwa  ni  mtu  mvivu  na mzembe  na  atapaswa  kulipa  faini isiyozidi  shilingi  mia  tano  au  kifungo kisichozidi  miezi  mitatu  au  vyote kwa  pamoja.

#sheria
#junguupdates

Chapisha Maoni

0 Maoni