Ticker

6/recent/ticker-posts

MAWAKILI WARUHUSIWA MAHAKAMA ZA MWANZO.



MAREKEBISHO YA SHERIA YA MAHAKAMA ZA MAHAKIMU (Magistrates Courts Act).

Marekebisho yaliyofanywa katika sheria ya mahakama za mahakimu yanaruhusu mawakili kuwawakilisha wateja wao katika mahakama za mwanzo ambapo awali mawakili walikuwa hawaruhusiwi kuwakilisha wateja wao katika mahakama za mwanzo.

Ruhusa hiyo ipo endapo shauri linasikilizwa na hakimu Mkazi.

#sheria

#junguupdates 

#legalupdates 

#Tanzanialawfirms

Chapisha Maoni

0 Maoni