SHERIA YA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI SURA YA 20 KIFUNGU CHA 20.
"Afisa polisi yeyote au mtu mwingine aliyeruhusiwa kufanya ukamataji anaweza kuvunja sehemu yoyote kwa ajili ya kujikomboa mwenyewe au mtu mwingine ambaye, baada ya kuingia kihalali kisheria kwa ajili ya kufanya ukamataji, amezuiwa ndani ya sehemu hiyo".
Imeandikwa na Mwanasheria
Johnson Yesaya Mgelwa (@yesayajm_ )
Wa Jungu la sheria Tanzania
0758218269/0628729934
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿