Tanzania tuna aina 5 tu za mahakama katika mfumo wa utoaji HAKI wa kimahakama ambazo ni;
1. Mahakama za mwanzo.
2. Mahakama za wilaya.
3. Mahakama za mahakimu wakazi.
4. Mahakama kuu.
5. Mahakama ya rufaa.
Mahakama za mwanzo huanzishwa katika ngazi ya kila kata na husikiliza kesi za madai na zile za jinai zenye makosa madogo madogo ambayo adhabu yake haizidi mwaka mmoja jela.
Lakini upande wa madai, mahakama hizi husikiliza madai yenye thamani kati ya milioni 30 mpaka hamsini.
Mahakama kuu ina nguvu zaidi ya mahakama ya mwanzo.
#sherianatehama
#sheria

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿