Ticker

6/recent/ticker-posts

Ajali za barabarani.




AJALI za BARABARANI zimekuwa zikiwaacha wahanga wake wakiwa vilema wa maisha au kusababisha VIFO kabisa wakati mwingine. SASA, sheria za Tanzania zinaruhusu MTU aliyeathiriwa na AJALI au ndugu zake endapo KIFO kimetokea, kudai FIDIA kutoka katika kampuni ya BIMA ya chombo kilichosababisha AJALI.


#sherianatehama 

#sheria

Chapisha Maoni

0 Maoni