Ticker

6/recent/ticker-posts

Sheria za kimataifa kuhusu balozi.



Sheria za kimataifa ⚖️


UBALOZI ni sehemu ambayo kwa mujibu wa Sheria za kimataifa ni ardhi ya TAIFA ambalo ubalozi huo unaliwakilisha. Mfano eneo lote ambapo upo UBALOZI wa marekani, ni eneo la marekani na yote yanayofanyika ndani ya UBALOZI huo ni sawa na kuwa yanafanyika katika nchi ya marekani.


#sherianatehama 

#sheria


Chapisha Maoni

0 Maoni