SHERIA ZA KIMATAIFA.
Kwa MUJIBU wa mikataba ya kimataifa kuhusu vita, majeshi hayaruhusiwi kuua raia wasio na silaha, kuua mateka wa vita, kulazimisha raia kupigana katika vita, kubaka, kulawiti na kuharibu miundombinu isiyohusiana na vita.
#sherianatehama
#sheria

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿