UKATILI kwa mtoto ni kumnyima mtoto chakula, kupuuzia afya yake kwa kutompatia matibabu anapougua, kumtelekeza , kumkeketa au kusaidia watu wengine kumkeketa mtoto, kwa tendo lolote kumsababishia MTOTO ulemavu n.k Kosa la UKATILI ni kosa la jinai lenye adhabu ya kifungo kuanzia miaka mitano jela au faini isiyozidi milioni moja pamoja na kulipa fidia kwa mhanga wa UKATILI.
#sherianatehama
#sheria

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿