Kwa mujibu wa kifungu cha 145 & 146 cha Kanuni ya Adhabu, ni kosa la jinai kwa mtu mume au mtu mke, kuishi kwa kipato kitokanacho na biashara ya umalaya/Uchangudoa. Iwe kufanya mwenyewe, kusaidia wengine kufanya umalaya n.k
Adhabu ya kosa hilo ni kifungo jela kwa kipindi kisichozidi miaka mitano au faini au vyote kwa pamoja.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿