Ticker

6/recent/ticker-posts

Kushawishi Askari Kuacha Kazi Kosa la Jinai 🚫🪖👮🏽‍♂️

 


Kushawishi Askari Kuacha Kazi Kosa la Jinai 🚫🪖👮🏽‍♂️

Kwa mujibu wa Kifungu cha 47 cha Kanuni ya Adhabu, kushawishi au kusaidia askari wa Polisi, Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa kuacha kazi bila ruhusa ni kosa la jinai.

🔹 Kosa hili linahusisha:
(a) Kushawishi au kujaribu kushawishi askari kuacha kazi.
(b) Kusaidia au kushiriki katika njama za kuondoka kwao.
(c) Kumficha au kumsaidia askari mtoro huku ukijua hali yake.

⚖️ Adhabu:
🔒 Kifungo cha miezi sita (6).

#JunguLaSheria 🇹🇿

Chapisha Maoni

0 Maoni