Ticker

6/recent/ticker-posts

Maana ya Ndoa Kisheria.



💍 Maana ya Ndoa Kisheria 🇹🇿

Kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ndoa, ndoa ni muungano wa hiari kati ya mwanaume na mwanamke, uliokusudiwa kudumu kwa maisha yao yote ya pamoja.

Na aina za ndoa ni;-

🔹 Ndoa ya mke mmoja, ambayo ni kati ya mwanaume mmoja na mwanamke mmoja kwa kujitenga na wengine wote.

🔹 Ndoa ya wake wengi, ni ndoa ambayo mume anaweza kuoa mke mwingine au wake wengine wakati ndoa bado inaendelea.

#SheriaYaNdoa #JunguLaSheria #HakiZaNdoa #MaishaYaNdoa #Tanzania🇹🇿

Chapisha Maoni

0 Maoni