KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 KIFUNGU CHA 25.
Adhabu zifuatazo zinaweza kutolewa na mahakama:-
(a) kifo;
(b) kifungo;
(c) kuchapwa viboko;
(d) kutoza faini;
(e) kunyang’anywa mali kama adhabu kwa kosa;
(f) kulipa fidia;
(g) dhamana kwa kutunza amani na kuwa na tabia njema, au kwa kuhudhuria kupewa hukumu;
(h) adhabu nyingineyo yoyote inayotolewa na Kanuni hii au sheria nyingineyo yoyote.
Imeandikwa na mwanasheria
JohnsonYesaya Mgelwa (@yesayajm_ )
Wa Jungu la sheria Tanzania
0758218269/0628729934
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿