Ticker

6/recent/ticker-posts

Mwenye jukumu la kusajili kifo ni nani?


Mwenye jukumu la kusajili kifo ni nani?

Mwenye jukumu la kusajili kifo ni kama ifuatavyo:- Daktari, ndugu wa karibu wa marehemu aliyekuwepo wakati wa kifo.

Mtu aliyemhudumia wakati wake wa mwisho wa ugonjwa.

Mwenye nyumba.

Mpangaji.

Mtu yeyote aliyechukua jukumu la maziko ya marehemu.


Chapisha Maoni

1 Maoni

WEKA MAONI YAKO HAPA.

TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.

KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿