Ticker

6/recent/ticker-posts

SHAMBULIO DHIDI YA HAKIMU MIAKA "7" JELA.



SHAMBULIO DHIDI YA HAKIMU MIAKA "7" JELA.


KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 KIFUNGU CHA 242.


KIFUNGU HICHO KINASEMA;


Mtu yeyote ambaye anashambulia na kumpiga au kumjeruhi hakimu yeyote, afisa au mtu mwingine aliyepewa mamlaka kihalali, au katika kutimiza wajibu wake, atakuwa anatenda kosa na atawajibika kwa kifungo cha miaka saba.


Imeandikwa na mwanasheria

Johnson Yesaya Mgelwa

Wa Jungu la sheria Tanzania

0758218269.

Chapisha Maoni

0 Maoni