Ticker

6/recent/ticker-posts

KUMTONGOZA MWANAFUNZI KUISHI NAE KIUNYUMBA JELA MIAKA MITANO.



Kwa mujibu wa kifungu cha 60A(4) cha sheria ya elimu sura ya 353 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2016.


Kumtongoza mwanafunzi, kusaidia au kuwezesha mwanafunzi kuishi na MTU mwingine KIUNYUMBA ni kosa la jinai na ADHABU yake ni miaka 5 jela au faini isiyopungua milioni 5.


Imeandikwa na mwanasheria

Johnson Yesaya Mgelwa @yesayajm_

Wa Jungu la sheria Tanzania

0758218269.

Chapisha Maoni

0 Maoni