KUTOA TAARIFA ZA UONGO MTANDAONI JELA MIAKA 3 AU FAINI MILIONI 5.
KWA MUJIBU wa sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 kifungu cha 16..
Kuweka katika mtandao au mfumo wa kompyuta taarifa zozote kwa njia ya picha, maneno, au alama, na kwa makusudi kwa lengo la kuudhi, kuchafua au kukashifu mtu mwingine ni kosa na mtu anapokutwa na hatia ya kosa hilo ADHABU yake ni kifungo kisichopungua miaka 3 au ADHABU ya kulipa faini isiyopungua milioni 5 au vyote kwa pamoja.
Imeandikwa na mwanasheria
Johnson Yesaya Mgelwa @yesayajm_
Wa Jungu la sheria Tanzania.
0758218269.

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿