Ticker

6/recent/ticker-posts

USAWA MBELE YA SHERIA



IBARA 13(6)(e) ya KATIBA inasema, katika kuhakikisha USAWA mbele ya sheria, ni marufuku kwa mtu kuteswa, kuadhibiwa kinyama au kupewa adhabu zinazomtweza au kumdhalilisha.


#sherianatehama 

#sheria

Chapisha Maoni

0 Maoni