Ticker

6/recent/ticker-posts

wazazi wanaweza kuamua kubadili kabisa majina ya MTOTO



Kwa MUJIBU wa sheria ya usajili wa vizazi na vifo, wazazi wanaweza kuamua kubadili kabisa majina ya MTOTO ndani ya kipindi cha miaka miwili tangu kusajiliwa kwa MTOTO au katika kipindi chochote cha utoto mpaka pale mtoto atakapofikisha miaka 18. Baada ya kufikisha miaka 18, utaratibu wa kubadili jina hubadilika na hufanywa kupitia kiapo. Ili kubadili jina ni lazima kuwe na sababu ya msingi ya kufanya hivyo.


#sherianatehama 

#sheria

Chapisha Maoni

0 Maoni