Kwa MUJIBU wa kifungu cha 56 cha sheria ya usalama barabarani, ni KOSA kuendesha kifaa cha moto kwa mwendo wa taratibu kupitiliza bila sababu yoyote ya msingi. Kosa hilo adhabu yake ni faini isiyopungua elfu hamsini lakini isiyozidi laki moja.
Kwa MUJIBU wa kifungu cha 56 cha sheria ya usalama barabarani, ni KOSA kuendesha kifaa cha moto kwa mwendo wa taratibu kupitiliza bila sababu yoyote ya msingi. Kosa hilo adhabu yake ni faini isiyopungua elfu hamsini lakini isiyozidi laki moja.
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿