Ticker

6/recent/ticker-posts

Kuendesha kifaa cha moto kisichosajiliwa.



Kwa MUJIBU wa kifungu cha 8 cha sheria ya usalama barabarani, ni KOSA kuendesha kifaa cha moto ambacho hakijasajiliwa kabisa. Mmiliki au dereva wa chombo hicho, au wote kwa pamoja wanaweza kushtakiwa kwa kosa hilo. Adhabu ya kosa hilo ni faini isiyopungua laki moja na isiyozidi laki tano, au kifungo kisichopungua mwaka mmoja. 

#sherianatehama 
#sheria

Chapisha Maoni

0 Maoni