Kwa MUJIBU wa sheria ya ndoa, miongoni mwa sababu ambazo zinaweza kuthibithisha kwamba ndoa imevuka na haiwezi kurekebishika ni usaliti wa ndoa, unyanyasaji, kubadili dini kwa mwanandoa mmoja, maradhi makubwa ya akili au kupata ukichaa, kushindwa kutekeleza wajibu wa ndoa n.k
#sherianatehama
#sheria

0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿