Ticker

6/recent/ticker-posts

Tafsiri ya neno ardhi.



Kwa MUJIBU wa Sheria ya ardhi Tanzania, Tafsiri ya neno ardhi ni sehemu ya juu ya uso wa dunia pamoja na vitu vyote vilivyojishikiza katika sehemu hiyo ya ardhi ikiwemo nyumba, miti n.k Madini na rasilimali zingine Kama mafuta na gesi katika ardhi ni mali ya umma bila kujali ardhi inamilikiwa na MTU mwingine.


#sherianatehama 

#sheria

Chapisha Maoni

0 Maoni