Ticker

6/recent/ticker-posts

Kutumia taarifa za mtu mwingine katika mtandao bila idhini yake ni kosa.


Kwa mujibu wa sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015, kifungu cha 15, ni kosa la jinai kutumia picha au taarifa za mtu mwingine kama majina yake katika mtandao wa kijamii bila idhini yake. Adhabu faini isiyopungua Milioni tano au mara tatu ya faida iliyopatikana kutokana na uhalifu huo au kifungo kisichopungua miaka saba au vyote kwa pamoja.

Chapisha Maoni

0 Maoni