Kwa mujibu wa kifungu cha 329 cha sheria ya kanuni ya adhabu, ni kosa la JINAI kuondoa au kuharibu kwa nia ovu, alama au kitu kilichowekwa kuonyesha mipaka ya ardhi. Kosa hili adhabu yake ni kifungo jela miaka mitatu.
Kwa mujibu wa kifungu cha 329 cha sheria ya kanuni ya adhabu, ni kosa la JINAI kuondoa au kuharibu kwa nia ovu, alama au kitu kilichowekwa kuonyesha mipaka ya ardhi. Kosa hili adhabu yake ni kifungo jela miaka mitatu.
0 Maoni
WEKA MAONI YAKO HAPA.
TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.
KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿