Ticker

6/recent/ticker-posts

𝐊𝐔𝐒𝐀𝐌𝐁𝐀𝐙𝐀 𝐏𝐈𝐂𝐇𝐀 𝐙𝐀 𝐍𝐆𝐎𝐍𝐎/𝐔𝐓𝐔𝐏𝐔 "𝐅𝐀𝐈𝐍𝐈" 𝐌𝐢𝐥𝐢𝐨𝐧𝐢 𝟐𝟎-𝟑𝟎 𝐚𝐮 "𝐊𝐈𝐅𝐔𝐍𝐆𝐎" 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝟕-𝟏𝟎.



Kwa mujibu wa sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015, katika kifungu cha 14.


Ni KOSA la jinai kusambaza picha zenye vitendo vya ngono au zinazoonyesha utupu, adhabu ya kosa hili ni faini kati ya Tsh milioni 20-30 au adhabu ya kifungo JELA miaka 7-10 au vyote kwa pamoja.


Imeandikwa na mwanasheria

Johnson Yesaya Mgelwa @yesayajm_

Wa Jungu la sheria Tanzania

0758218269/0628729934

Chapisha Maoni

1 Maoni

  1. Videoslots.org - Vimeo
    Videoslots.org. Videoslots.org. Videoslots.org Videoslots.org is an online social network that offers a platform for social, offline, and online video youtube downloader production.

    JibuFuta

WEKA MAONI YAKO HAPA.

TAFADHALI USITUMIE LUGHA YA MATUSI AU KUUDHI KWANI NI KOSA KISHERIA.

KARIBU SANA NA ASANTEE.. 🇹🇿